August 9, 2018


Msiba wa msanii mkongwe, Amri Athuman' King Majuto' umewaliza wasanii mbalimbali waliojitokeza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, alipofia.

Wasanii kadhaa walifika hospitalini hapo kwa ajili ya msiba huo ambao utasafirishwa kwenda Tanga.

Wasanii hao walianza kuangua vilio baada ya kuona jeneza lenye mwili wa mzee Majuto likipitishwa kutoka mochwari.


Tayari imeelezwa, msiba utakuwa kwake Tanga kabla ya kwenda kuzikwa kijijini kwake kesho saa saba mchana.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic