Mabao ya Juventus yamewekwa kimiani na Mario Mandzukic pamoja na Blaise Matuidi.
Bao pekee la Parma limewekwa kimiani na Gevinho ambaye ni raia wa Ivory Coast.
Gumzo kubwa limesalia kwa nyota Cristiano Ronaldo ambaye leo amefikisha mechi tatu bila kupata hata bao moja.
Mechi hizo ni sawa na dakika 270 kwa nyota huyo ambaye alikuwa na kikois cha Real Madrid kwa msimu uliopita.
0 COMMENTS:
Post a Comment