October 11, 2018


Tangu aachane na klabu yake yake msimu wa 2013/14, imeelezwa kuwa Kocha Mkuu wa zamani wa Simba, Mcameroon Joseph Omog, ameendelea kukaa kwao bila kazi, imeelezwa.

Omog ameendelea kusalia kwake nyumbani kutokana na kushindwa kupata timu nyingine ambayo angeweza kuifundisha.

Taarifa imeeleza kuwa sababu za Omog kuendelea kukaa nyumbani ni kushindwa kufikia mwafaka na klabu mbalimbali nchini humo na nje ya nchi haswa kimaslahi.

Kocha huyo aliyewahi pia kuifundisha Azam FC aliondoka Simba na nafasi yake kuchukuliwa na Mfaransa, Pierre Lechantre ambaye alikaa kwa muda wa miezi 6 kisha baadaye akaletwa Mbelgiji Patrick Aussems ambaye ndiye Kocha wa sasa.

2 COMMENTS:

  1. Hii Blog imezidi kwa uongo..Ukweli ni kuwa Kocha Joseph Omog alitimuliwa toka klabu ya Simba Sc mwezi Desemba 2017 ambao ulikuwa msimu wa 2017/18

    ReplyDelete
  2. Hii blog mnatia Aibu Sana kwa Kuwa makanjanja
    Mbona hamsemi kocha wa azam?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic