October 13, 2018


Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimekubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Cape Verde baada ya kuruhusu mabao hayo katika mchezo wa kundi L na kuifanya ibakie na alama zake 2 ikishuka mpaka nafasi ya mwisho kwenye kundi hilo.

Wakati huo Cape Verde wamepanda juu kwa kufikisha alama 4 kwenye msimamo huo wa kundi L Timu hizo zitarudiana tena Oktoba 16, 2018 kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.



MSIKIE KOCHA WA STARS AKIFUNGUKA HAPA KILICHOTOKEA


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic