October 12, 2018


Taarifa kwa umma

Uongozi wa Klabu ya Simba unapenda kuwataarifu Wanachama, wapenzi na washabiki wake kuwa mchana wa leo baada ya Sala ya Ijumaa (Saa 8.00) kutakuwa na KISOMO katika Makao Makuu ya Klabu Mtaa wa Msimbazi.

Lengo la KISOMO hiki ni kumuomba Mwenyezi MUNGU aweze kuleta wepesi kwenye Matatizo yaliyompata Mlezi na Mwekezaji wetu Bw. Mohammed Dewji "MO"

Tunapenda kuwakaribisha katika Kisomo hiki muhimu ili kumuomba Mungu aweze kumlinda na kumrejesha Mwenzetu salama.

Kutoka Simba Sports Club

6 COMMENTS:

  1. wana simba ombeni dua sana maana mo asipopatikana wachezaji wataondoka wote wa kimataifa waende zao. dah sipati picha itakuwaje

    ReplyDelete
    Replies
    1. Chizi si lazima aokote makopo! Wachezaji wa kigeni Simba walikuwepo kabla ya MO, na wataendelea kuwapo! Tunasikitika kwa vile ni binadamu mwenzetu!

      Delete
  2. Watu wanafikiria maisha ya binadamu mwenzao huyu anakuja na comment ya kifedhuli. Binadamu wengine unasita kuwaita binadamu.

    ReplyDelete
  3. Huyo anayekejeli lazima ana wazimu au ni wazimu wa kurithi toka kwa mama yake mzazi. Kabla hata MO hajazaliwa simba ilikuwa na wachezaji wakulipwa.Msenge mkubwa huyo

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic