Mwamuzi wa Tanzania Jonesia Rukyaa, kesho atakuwa kibaruani kuchezesha mchezo wa nusu Fainali ya AFCON ya Wanawake nchini Ghana.
Mchezo huo kati ya South Africa dhidi ya Mali utachezwa saa 12:30 jioni uwanja wa Cape Coast Sports.
Rukyaa ana beji ya FIFA ni mwamuzi wa kitanzania atakayekuwa kati kwenye mchezo huo wa nusu Fainali za Afrika ana uzoefu wa kuchezesha mechi kubwa iki ni pamoja na ile ya Simba iliyochezwa uwanja wa Taifa.
0 COMMENTS:
Post a Comment