November 7, 2018


Meneja wa Chelsea Maurizo Sarri amemzuia kiungo wa kati wa England Ruben Loftus-Cheek, 22 kuhama kutoka West Ham mwezi Janauari. (Mirror)

Manchester City wanamtazama beki wa Crystal Place Wan-Bissaka, 20, wakati mchezaji huyo wa miaka 21 raia wa England akiwa katika hali nzuri. (Mirror)

Palace pia wanataka kutoaa ofa ya pauani milioni 10 kwa mchezaji wa Arsenal mwenye miaka 27 Danny Welbeck mwezi Januari. (Sun)

Arsene Wenger amezitaja kuwa habari feki za kumuuzisha na klabua ya Seria A Milan. (beIN Sports)

Mchezaji anayelengwa na Manchester United na Manchester City Leon Bailey, 21, anasema alikataa ofa ya Bayer Leverkusen kwa sababu hakutaka kufanya maamuzi ya haraka. (Manchester Evening News)

Meneja wa Tottenham Mauricio Pochettino ameimbia Real Madrid kuwa hataondoka Spurs licha ya kupewa ofa ya paunia milioni 15 kwa mwaka kuchukua usimamizi wa klabua hiyo ya Uhispania. (Sun)

Real Madrid wamefikia makubaliano kumsaini mchezaji wa miaka 20 kiungo wa kati wa Argentina Exequiel Palacios kutoka River Plate. (TeleMadrid - in Spanish)

Mshambuliaji wa England Jamie Vardy, 31, anaweka kwenye mnada kisanduku chake katika uwanja wa King Power kwa msaada kwa wakufu wa Vichai Srivaddhanaprabha. (Leicester Mercury)

Manchester City wa wamafikiria kiungo wa kati wa West Ham raia wa Ireland Declan Rice, 19, kuchukua mahala pake Fernandinho. (Evening Standard)

Kutoka BBC

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic