November 7, 2018

12 COMMENTS:

  1. Ukituandikia habari use unafikiria unachotuandikia...ulivyoandika kichwa cha habari hapo juu inaonekana chanzo cha habari ni TBC...lakini wao wanasoma dondoo za gazeti LA Bingwa ambalo linaanfika habari za kufurahisha ombaomba FC..hivi Fei Toto atachukua nafasi ya Chama , dilunga, haruna ,mkude au kotei pale simba?

    ReplyDelete
  2. Uongo mwingine hauna hata macho habari ya kutengenezwa hiyo

    ReplyDelete
  3. Sasa akacheze nafac yanani labda ushangiliaji simba imeenea imekamilika kila idara

    ReplyDelete
  4. Sasa akacheze nafac yanani labda ushangiliaji simba imeenea imekamilika kila idara

    ReplyDelete
  5. hizo habari za kutunga zinapoteza hadhi yenu si nyie ndio mliandika kocha wa simba haoni wa kumchukua yanga halafu mnalalamikia sheria ya vyombo vya habari huku mnatuletea habari za uongo

    ReplyDelete
  6. Eti Fei toto phfeweeeee..unakumbuka Simba walivyocheza na yanga mid field ya Simba walivyowafundisha soka Yanga.Afadhali Tshishimbi alifurukuta.Fei toto alikuwa cha mtoto kama kifaranga kilichonyeshewa na mvua.acha kuandika upuuzi

    ReplyDelete
  7. Kuna usemi kuwa adui yako muombee njaa . Tunaweza kumsajili Fei toto kwa ajili ya kuidhoofisha Yanga kama tulivyofanya kwa Niyonzima , lakini si kuja kucheza kwani hana nafasi kwa viungo imara na bora waliosheheni katika kikosi cha SIMBA

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwahiyo imedhoofika kwa niyonzima kuondoka?
      Au wanaendelea kumlipa mshahara wa bure na kumsomeshea wanae tu!
      Raha ya mpira ushindani sio kucheza uku una uhakika wa ushindi

      Delete
  8. Humo no uongo fei Toto yeye ampambane na yanga yake hana nafasi simba

    ReplyDelete
  9. Humo no uongo fei Toto yeye ampambane na yanga yake hana nafasi simba

    ReplyDelete
  10. Fei Toto Hana Nafasi Simba Kwa Muonowangu

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic