Prisons walikuwa wa kwanza kuona lango la Yanga baada ya kufunga kwa penati dakika ya 45 bao lililofungwa na Jumanne Elfadhil.
Mabadiliko aliyoyafanya kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera kumtoa Juma Abdul dakika ya 68 na kuingia Amiss Tambwe yamesaidia kwa kuwa mpira wa kwanza wa Tambwe umesababisha penati.
Tambwe anafanikiwa kuandika bao la pili dakika ya 85 baada ya mabeki wa Prisons kufanya makosa ndani ya 18 hali iliyofanya kuweza kumpa nafasi Tambwe kuandika bao la pili na kufunga bao la tatu dakika ya 90
Asante tambwe
ReplyDeleteAsante yanga
Mwanza ni furaha mwanzo mwisho