December 12, 2018


Kikosi cha klabu ya Simba kinachotarajiwa kuondoka leo kuelekea Kitwe, Zambia kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana Red Devils, mechi itapigwa Disemba 15 2018.

Magolikipa 

1. Aishi Manula
2. Deo Munishi Dida

Mabeki

3. Nicholas Gyan
4. Mohamed Hussein
5. Erasto Nyoni 
6. Pascal Wawa
7. Juuko Murshid

Viungo

8. Jonas Mkude
9. James Kotei
10. Hassan Dilunga
11. Clatous Chama
12. Said Ndemla
13. Mzamiru Yassin
14. Haruna Niyonzima
15. Rashid Juma 
16. Shiza Kichuya

Washambuliaji

17. John Bocco
18. Emmanuel Okwi
19. Adam Salamba 
20. Meddie Kagere

5 COMMENTS:

  1. Vipi tena Asante Kwasi sioni jina lake. Bado hajawa fiti?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwasi nimemwona katika picha ya wachezaji waliowasili Ndola, kuna mchezaji atakuwa amekatwa

      Delete
  2. Mungu awatangulie katika safari hii na kuwajalie hekima na baraka katika mechi jumamosi

    ReplyDelete
  3. Inawezekana mpira mbinu zambia ni nyumbani ushindo ni lazma sio ombi

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic