December 6, 2018


Jumla ya mechi 6 za Ligi Kuu England zimepigwa usiku wa jana ambapo majogoo wa Anfield, Liverpool wamefanikiwa kuitwanga Burnley jumla ya mabao 3-1 ugenini.

Wakati Liverpool wakipata ushindi na kuzidi kuweka rekodi ya kutopoteza hata mchezo mmoja katika ligi msimu huu sawa na Manchester City, Chelsea wameambulia kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Wolves.

Matokeo ya mechi zote kwa ujumla haya hapa





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic