LIVERPOOL HII NI KONKI BALAA, YAILAZA 3-1 BURNLEY IKIWA KWAO, UNITED YABANWA, CHELSEA NAYO YALALA
Jumla ya mechi 6 za Ligi Kuu England zimepigwa usiku wa jana ambapo majogoo wa Anfield, Liverpool wamefanikiwa kuitwanga Burnley jumla ya mabao 3-1 ugenini.
Wakati Liverpool wakipata ushindi na kuzidi kuweka rekodi ya kutopoteza hata mchezo mmoja katika ligi msimu huu sawa na Manchester City, Chelsea wameambulia kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Wolves.
Matokeo ya mechi zote kwa ujumla haya hapa
0 COMMENTS:
Post a Comment