January 13, 2019


Hii sasa kali. Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten ameamua kuweka makucha hadharani baada ya kumtukana LIVE shabiki wa Simba kisa kuambiwa hana akili.

Ten aliweka ujumbe katika ukurasa wa Instagram kwa kusema kuwa "wakati mwingine tunakuzingua ili upate hasira ufanye vizuri, hongereni" na mdau huyo akakomenti kwa kumweleza Ten hana akili.

Baada ya Ten kuona komenti hiyo, hakusita kumjibu palepale kwa kumchana LIVE na akimuuliza shabiki huyo kuwa angekuwa hana akili mama yake angekuwa anakuja kuchukua hela kwake? 

Ujumbe huo uliambatana na namba ya simu ya Ten ambayo aliitoa na kumweleza shabiki huyo kuwa akaiangalie kwa mama yake kuwa ameisave kwa jina lipi.


4 COMMENTS:

  1. Mnafiki hiyo..wakati Simba inaenda cheza na Nkana aliwatumia salam instagran pamoja na kessy akiwatakia ushindi.Akatuma mashabiki kujavwashingia uwanja wa Taiga . Jana waliona wakienda shangilia JSS bado wataumia tu!

    ReplyDelete
  2. TFF ijitathmini namna inavyoendesha soka la Tanzania....kwani kumekuwa na malalamiko ya upendeleo na kuzipangia unafuu ratiba ya mashindano baadhi ya klabu fulani na kuzikandamiza nyingine....sijata timu hizo ila mwenye macho haambiwi tazama

    ReplyDelete
  3. Mtibwa na Simba wamekuwa wana viporo premium league sababu ya mechi za kimataifa.ilikuwa hivyo hivyo kwa Yanga mwaka Jana na juzi pia!

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic