JERRY MURO ATOA TAMKO LINGINE JUU YA BOBAN, NGASSA NA ZAHERA 'MKUBALI CHANGAMOTO'
Kufuatia tamko alilolitoa aliyewahi kuwa Msemaji wa Yanga, Jerry Muri juu ya Haruna
Moshi 'Boban' na Mrisho Ngassa kuwa si wachezaji wanaopaswa kuitumikia Yanga kwa sasa, hatimaye ameibuka na kuomba radhi.
Aidha ameomba msamaha pia kwa kauli aliyoitoa juu ya Kocha wake, Mwinyi Zahera ambaye alikuwa akipinga mbinu zake Uwanjani.
Kujua kosa lake akaomba radhi in ustaarabu
ReplyDeleteAWE ANAFIKIRI KABLA YA KUTOA KAULI
ReplyDelete