February 10, 2019


Nyota wa zamani wa klabu ya Simba, Mohamed Rashid, ambaye  hivi sasa anakipiga  klabu ya KMC amesema licha ya kuwa hayupo katika kikosi cha Simba bado anaamini kiwango chake kiko vizuri kutokana na uwezo binafsi alionao awapo uwanjani

hata hivyo MO amesema licha ya kuwa katika kikosi cha kwanza cha KMC Bado mwalimu Patrick Aussems anafatilia kwa karibu maendeleo yake katika kikosi hicho cha timu ya Manispaa ya Kinondoni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic