March 13, 2019

1 COMMENTS:

  1. Yanga kuweni makini na maamuzi yenu ya kuhairishahairisha uchaguzi na kutoa mianya ya kuleta sintofahamu fanyeni hiyo mikutano yenu haraka na muwasihi wanachama kuacha kukimbilia mahakamani kufungua kesi na kuleta mshikamano na umoja haraka sasa uchaguzi ufanyike mwezi 4 mkutano mkuu wa wanachama ufanyike mwisho wa mwezi 3. Ili mchakato uende haraka na muwe na uongozi unaosimamia timu kwa ufanisi....muende kwenye mfumo wa uwekezaji kuanzia mwezi 6. Fanyeni haya haraka mko nyuma sana!!!!!...leteni wawekezaji kuunda kampuni ya michezo ya Yanga kuanzia juni Mwekezaji aanze kutafutwa kuanzia mwezi 5....huo ni ushauri wangu

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic