HAJI MANARA AWAKA TENA, AMVAA VIBAYA MWINYI ZAHERA
Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, amemtaka Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera kukaa mbali na timu ya Simba.
Kauli ya Manara imekuja mara baada ya kusema anawataka TFF kuitendea haki ratiba ya mechi za ligi kwasababu ana uhakika watachukua ubingwa wa ligi endapo watashinda mechi 10 zijazo.
Nimeipenda hii ya mjusi kuvaa kimini
ReplyDeleteSimba chama langu fanyeni kweli Yanga huku "pumzi" imekata....gari la mkaa halifiki mwisho wa kituo...
ReplyDeleteDuuuh! Mjuc kuvaa kimini!!! Hii ni kali, Da boss, unavitoa wapi hv vimsemo?!! Zahera anautumia vibaya Uhuru alioukuta TZ, Congo hawezi kufyatuka hv. Lakini kila suiku najiuliza na hata humu kwenye Bolg huwa nahoji..... "Hivi hakuna Sheria ambazo zinawabana makocha au viongozi wa timu fulani katika kuzungumza maneno fulani yasiyostahili juu ya timu pinzani? TFF haina miongozo juu ya watu wenye tabia kama hizi za Zahera? Maana sasa zimefikia hatua zinawakera wengi, na mimi ni mmojawapo.
ReplyDelete