VIDEO: CANNAVARO AMGOMEA MWINYI ZAHERA
Meneja na nahodha wa zamani wa Yanga Nadir Haroub Canavarro amerejea kwenye kikosi chake hicho na kuendelea na majukumu kama kawaida licha ya kuwa kulitokea hali ya sintofahamu katika yake na kiongozi wa benchi la ufundi la timu hiyp Kocha Mwinyi Zahera.
Ukweli ni kwamba hakuna mazoezi na matayarisho ya nguvu waliyoyafanya Yanga wachezaji walipewa mapumziko ya sikukuu kwa siku 3 na siku ya 4 mpaka ya 5 walikuwa kwenye mgomo wameanza mazoezi jumamosi....hii ni hatari sana....kila mtu yuko bize na uchaguzi na kampeni ya michango!...wachezaji wanatokea nyumbani wakati Azam wameanza maandalizi tokea jumatatu....kila kitu kiko wazi....timu iliyofanya maandalizi inaonekana na isiyofanya maandalizi inaonekana
ReplyDelete