April 27, 2019

Majogoo wa jiji Liverpool wameendeleza dozi ya katika Ligi Kuu Uingereza kwa kuitandika Huddersfield jumla ya mabao 5-0.

Mabao ya Liverpool yamewekwa kimiani na Sadio Manne na Mohamed Salah waliofunga mawili kila mmoja huku Nabi Keita naye akicheka na nyavu mara moja.

Msimamo wa Ligi unaonesha Liverpool wamerejea kileleni wakiwa mbele kwa alama mbili dhidi ya Manchester City wakiwa na alama 91 huku City wakiwa na 89.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic