Alichokiandika mshambuliaji wa Simba Adam Salamba kuhusiana na viatu alivyoomba kwa mchezaji wa Sevilla jana
KISA VIATU, SALAMBA AOMBA RADHI SIMBA
Alichokiandika mshambuliaji wa Simba Adam Salamba kuhusiana na viatu alivyoomba kwa mchezaji wa Sevilla jana
kwamba anavyo vingi ila aliamua kuomba tu
ReplyDeleteIlikuwa haina kuomba radhi. Alichofanya ni sawa tu. Ni kumbukumbu muhimu sana hiyo, utawaona wapi tena sevilla zaidi ya kwenye kioo tu
ReplyDeleteAnaomba radhi ya nini wakati ni kawaida kubadilishana jezi, viatu kama souvenier.Ni mbumbu wa soka ndio atakeyebwabwaja na kinyume ulichofanya. Salamba huna haja ya kupanick na wasikutoe nje ya reli.
ReplyDeleteKiukweli haijawai tokea hata brazili walipokuja kauze Dogo!
ReplyDelete