May 1, 2019

5 COMMENTS:

  1. Ama hii Kali kuliko zote za Zahera na wala haijawhi kutokea tokes ulipoumbwa mpira

    ReplyDelete
  2. Kwa gezo kipi upewe ubingwa wakati hauna sifa weye zuhura

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwa kuwa tu mama'ko anaitwa Zuhura basi kilichokujia haraka kichwani ni kuandika jina lake......

      Delete
  3. Yaani uwe bingwa na pointihazijatosha??Au Ulaya ipi anayozungumzia?
    Kweli huyu anahitaji msaada wa kitabibu kwani hazipo zote.Ubingwa unapatikana kwa kuzizidi timu zote mwisho wa msimu au kwa kuwa na pointi ambazo hazitafikiwa na timu pinzani hata kama zitashinda mechi zao Haupatikani kwa maneno matupu.Kinachonishangaza waandishi wa habari hawaulizi maswali kuhusu tamko la kijinga kama hilo.Labda ubingwa wa kulalamika.

    ReplyDelete
  4. Sasa si akafundishe Ulaya?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic