July 2, 2019


BAADA ya mlinda mlango namba mbili wa Simba, Deogratius Munish ‘Dida’ kuwaaga mashabiki wa Simba sasa huenda akarejea kukipiga tena Afrika Kusini.

Dida alisajiliwa na Simba akitokea timu ya Amatuks ya Afrika Kusini kwa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo tayari imemalizika.

Habari zimeeleza kuwa kwa sasa Dida hana namba ya kudumu ndani ya Simba baada ya kuongezwa kwa Beno Kakolanya hivyo ameamua kutimka moja kwa moja kurejea Afrika Kusini.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic