July 30, 2019


KIKOSI cha Simba leo kinacheza mchezo wake wa mwisho wa kirafiki wa kufunga hesabu dhidi ya Orlando Pirates nchini Afrika Kusini.

Mchezo huo ambao ni maalumu kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao utachezwa majira ya jioni kabla ya kesho kuanza safari kurejea Dar.

Leo kikosi kilisafiri kutoka ilipo kambi yao maeneo ya Rustenburg mpaka Johannesburg sehemu watakayocheza leo.

Patrick Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema lengo kubwa la michezo hiyo ni kuunda muunganiko bora kwa ajili ya msimu ujao.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic