July 31, 2019

CLIFFORD Ndimbo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kuwa leo ndio mwisho wa usajili kwa wachezaji wa ndani.




 Ndimbo amesema kuwa hakuna muda mwingine wa nyongeza kwa wale ambao bado hawajakamilisha zoezi.

"Julai 31 zoezi la usajili linafungwa jumla na hakuna muda wa kuongeza kwa wale ambao hawajakamilisha usajili.

"Timu nyingi zinakamilisha usajili wa ndani pekee na kusahau kuwasajili wachezaji hao kwa njia ya mtandao yaani TFF Connect, hilo wasilisahau ni lazima wafanye hivyo" amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic