August 13, 2019



SELEMAN Matola, Kocha wa Polisi Tanzania amesema kuwa kikosi chake kipya kinatengamaa na kitaleta ushindani kwenye ligi msimu ujao.

Polisi Tanzania imepanda Ligi Kuu Bara msimu huu na itakuwa miongoni mwa timu 20 ambazo zitashiriki ligi inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 23.

Akizungumza na Saleh Jembe, Matola amesema kuwa maandalizi ya mwisho kwa sasa yapo sawa wana imani ya kufanya makubwa ligi ikianza.

“Tupo sawa na kikosi chetu kina moto wa kutosha kabla ya ligi kuanza hivyo imani yetu ni kufanya makubwa msimu utakapoanza hasa ukizingatia ni kikosi kipya lazima wachezaji wawe na mambo mapya.

“ Kwenye ligi hatuna hofu iwe  ni Simba, Yanga, Azam tutapambana, kikubwa ni sapoti na kushirkiana," amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic