August 5, 2019


WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uwekaji jiwe la msingi uwanja wa Bunju.

Hafla hiyo inatarajiwa kufanyika kuanzia majira ya saa 4 kwenye uwanja huo uliopo kwenye matengenezo.

Uwanja huo wa Simba ni maalumu kwa ajili ya mazoezi ya timu hiyo ambayo kesho inamenyana na Power Dynamo uwanja wa Taifa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic