August 5, 2019


KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa matatizo ya kikosi chake kwa sasa ni madogo na atayafanyia kazi.

Zahera amesema kuwa kwa sasa anakisuka kikosi imara ambacho kitaleta ushindani msimu ujao kama ambavyo aliahidi msimu uliopita.

"Ninapenda kuona wachezaji wakipambana kwa juhudi ila tatizo lao nimegundua linatokana na kushindwa kukaa kwa muda mrefu hasa kwenye mazoezi.

"Msimu ujao sasa nimepanga kusuka kikosi imara ambacho kitaleta ushindani mwanzo mwisho na mashabiki wenyewe watapenda," amesema.

Miongoni mwa wachezaji ambao wametambulishwa jana ni pamoja na Patrick Sibomana ambaye alifunga bao la kusawazisha kwenye mchezo dhidi ya Kariobangi Sharks, Juma Balinya, Mapinduzi Balama, Ally Ally, Mohamed Banka.

19 COMMENTS:

  1. Yanga kelele nyingi ila wana timu ya kawaida mno kulinganisha na KMC au Azam na hao Simba siwezi kuwataja hapa kwani wao ni level nyengine.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Maneno ya mlevi

      Delete
    2. heeheehee.....kaka ulijuaje kama huyo jamaa ni mlevi.......namfahamu,tena ulevi wenyewe wa gongo na chibuku.

      Delete
    3. Acha ujinga jana mpira umepigwa mkubwa, mwaka hamtaingiza timu uwanjani pumbavu nyie.

      Delete
  2. Sawa Mzee tumekusikia nyie level nyingine,ile timu ya mo duh mtabaki kushangaa siku moja

    ReplyDelete
  3. Tushangae nini?Mkimaliza wa 4 shukuruni.Kelele nyingi hamna kitu.Afadhali Makambo na Ajibu.Mtawakumbuka .Hamna forwadline hapo.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ajibu alifunga magoli mangapi!? Unatamani ingekuwa hivyo ila ukweli bado haiwezi kutokea!! Tukutane kwenye ligi

      Delete
  4. Jana nmecheki mechi ila kiukweli yanga foward pale sjaona kushoto na kulia kulikuwa hamna cha maana sana.kocha wetu zahera afanyie kazi

    ReplyDelete
  5. Kabisa wamechemka kunako fowadline wangemuacha tu Amis tambwe angewasaidia sana.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hahaha mnaweweseka, tambwe amewahi fanya nini inapokuja international game!? Mbona mikia mnateseka sana!? Hatutegemei ushauri kutoka kwenu, mgekuwa mnajua msingekuwa mnalia kama ng'ombe

      Delete
  6. Yanga ya msimu uliopita ilikuwa vizuri ukilinganisha na hawa vilaza walionao saiz.

    ReplyDelete
  7. Tatizo la mbumbu fc ni kupenda kujifariji!! Mlitaka wafanye nini!? Ile ni game ya kirafiki na hakukuwa na cha ziada!! Ile timu imekamilika na iko kwenye kiwango sahihi!! It's a matter of time kupata combination!! Katika kipindi chote alichokuwepo ajibu yanga haikuwahi kuwa bingwa, then akumbukwe kwa lipi!? Makambo muda ulifika na akaondoka, mbona nyie hamkumzuia kotei au Okwi!? Acheni maneno ya bar

    ReplyDelete
    Replies
    1. kaka usibishane na wajinga kama hao wasiojua mpira ambao wanataka kumpima mchezaji au timu kwa mechi moja tu ya kimataifa.kuna wajinga wengine wamekwenda mbali zaidi kwa kumpima hata Molinga kwa zile dakika tano tu za mwisho alizocheza........stupid sana.

      Delete
    2. Umeongea kama mwanaume kaka...big up broo..wengine wakishakunywa ndo wanajiona wanajua sana

      Delete
  8. NDO UZUR UKCHEZA NA TMU YENYE KIWANGO KZUR KARIOBANG NI MABINGWA WA SPORTPESA NA WAMEMFUNGA EVERTON JUZI TU YANGA WANAHTAJ PONGEZ MUACHE UNAFK MIKIA FC.

    ReplyDelete
  9. Yule kibabu Sdney wakoboronga hawezi wasaidia kitu.Hata alipokuja majaribio simba hakuweza kufanya chochote cha maana golini.Nazani maskauti wa wachezaji wa Yanga ni walevi.

    ReplyDelete
  10. MARA ZOTE SIFA YA MTU ASIYEJIAMN NA LMBUKEN NI KUPENDA KUMZUNGUMZIA MWENZAKE ALYEFANKIWA WKT YEYE HATA KWAKE TU JEZI HAZNUNULK MPK AIBU YANGA HONGEREN MMEKUJA KITOFAUTI KABSA ENDELEEN KUITANGAZA YANGA.

    ReplyDelete
  11. Tanzania kuna mashabiki maandazi wengi sana kama wameona ile yanga hamna lolote basi hakuna haja ya kuangalia mpira

    ReplyDelete
  12. Kwa hiyo simba ndyo INA maskauti wazuri wanaoshauri kumnunua ajibu na kumuuza Kotei? Au kumnunua yule beki wa singida na kumuacha Juuko? Acheni wivu ipeni yanga mechi tatu tu mtaona balaa lake. Sisi kocha tunae

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic