September 1, 2019


Ni katika toleo la Championi juzi Ijumaa tuliona namna ambavyo makocha mbalimbali ambao wamewahi kuifundisha timu ya Alliance walivyokuwa wakilalamika kuingiliwa katika kazi yao ya kupanga kikosi.

Kubwa zaidi wanamtuhumu Mkurugenzi wa timu hiyo ambaye pia ndiye meneja James Bwire.

Championi limepiga kmabi Mahina-Buzuruga Nje ya kidogo ya jiji la Mwanza yalipo makazi ya timu ya Alliance  Schools na Kuzungumza na Bwire ambaye amefunguka kila Kitu ikiwemo juu ya tuhuma hizo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic