Baada ya Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, kuendelea kuwatania Yanga baada ya kupoteza katika Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zesco United, Mkurugenzi wa Bodi ya Simba, Manara, Mo Dewji, amemtakama Manara kuacha kuwatania Yanga.
HM ana vijitabia vya kiswahili na mwisho wa siku hukimbilia kujihami anapoguswa guswa!!! Ila tunahitaji watu wa aina yake ili kuchangamsha media maana bongo mpira unachezwa mdomoni na kwenye media
Wewe teseka tu ila mpira tuliona uko POA pia tumejifunga.kwa ujumla tumejitoa wenyewe dar tumewafungia ndola tukawafungia .pili sisi hatujafungwa ugenini goli 17 rekodi hip mnayo ninyi tu mikia
Rekodi hiyo ndio imewafanya mshiriki kwa viti maalum. Tumewafungia?? Kelele za chura .Mmezoea mpaka mtengenezewe nafasi tena na mume wenu. Hamna uwezo wa kushiriki wenyewe. Visingizio vya kuzimia taa!!Makame alijifumga kwa sababu ya giza?Unajihami timu nzima ndio matokeo yake .Rudini Mbeya City wanawasubiri.Ruvu Shooting walishavunja bikira.
Hajampiga stop kampa ushauri.Wacheni kulisha watu maneno. Vyura hawajui uzalendo na hawana ustaarabu.
ReplyDeleteHM ana vijitabia vya kiswahili na mwisho wa siku hukimbilia kujihami anapoguswa guswa!!! Ila tunahitaji watu wa aina yake ili kuchangamsha media maana bongo mpira unachezwa mdomoni na kwenye media
ReplyDeleteWewe una tabia za kizungu?Haji anaendeleza utani kama hupendi tabu yako..
ReplyDeleteWewe teseka tu ila mpira tuliona uko POA pia tumejifunga.kwa ujumla tumejitoa wenyewe dar tumewafungia ndola tukawafungia .pili sisi hatujafungwa ugenini goli 17 rekodi hip mnayo ninyi tu mikia
ReplyDeleteBahati haikua yanga ila timu iko POA sana
ReplyDeleteRekodi hiyo ndio imewafanya mshiriki kwa viti maalum. Tumewafungia?? Kelele za chura .Mmezoea mpaka mtengenezewe nafasi tena na mume wenu. Hamna uwezo wa kushiriki wenyewe. Visingizio vya kuzimia taa!!Makame alijifumga kwa sababu ya giza?Unajihami timu nzima ndio matokeo yake .Rudini Mbeya City wanawasubiri.Ruvu Shooting walishavunja bikira.
ReplyDelete