BEKI SIMBA ATIMKIA AFRIKA KUSINI
Imeripotiwa kuwa beki wa kimataifa wa Tanzania, Jamal Mwambeleko amejiunga na klabu ya Bidvest Wits.
Mwambeleko amejiunga na timu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya Afrika Kusini akitokea KCB FC ya nchini Kenya.
Beki huyo ambaye awali aliwahi kuichezea Simba, amefikia makubaliano na mabosi wa Wits baada ya kumaliza mkataba na KCB.
Mwambeleko anaungana na Abdi Banda ambaye kwa sasa anakipiga kunako Highlands Park ambayo pia inashiriki Ligi Kuu nchini humo.
Waandishi wa kibongo jamani. Sasa simba hapo imekujaje
ReplyDeleteYaani huu uandishi choo kabisa!
ReplyDelete