NDEGE aina ya Bek iliyokuwa imebeba abiria 95 na wahudumu watano ilianguka uwanja wa ndege wa Almaty nchini Kazakhistan muda mfupi alfajiri (saa za huko) na kuua watu 14 na 35 kujeruhiwa.
Ndege hiyo ilikuwa ikielekea katika mji mkuu wa Kazakhstan wa Nursultan kutoka mji mkubwa wa Almaty ambapo inadaiwa ilipoteza mawasiliano baada ya kusafiri saa moja na dakika 22, kabla ya kugonga kizuizi kimoja na kuangukia nyumba ya ghorofa mbili.
0 COMMENTS:
Post a Comment