CHUMA KIPYA CHATAMBULISHWA JANGWANI, NI HATARI Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza mchezaji mpya ambaye ni raia wa Ghana, mchezaji huyo amejiunga rasmi na wananchi kwa kusaini mkataba.
Hiii ndioo yanga
ReplyDeletehii yanga mpya itawafanya hata wanaotishia kujiuzulu kwenye nyadhifa ktk timu zao wajiuzulu kweli sasa.......Naona GSM amedhamiria kurithi mikoba ya Manji kisawasawa.
ReplyDeleteAnacheza nafasi gani?
ReplyDelete