January 2, 2020





NYOTA wa Arsenal,Nicolas Pepe amekuwa mchezaji wa kwanza ndani ya kikosi hicho kufunga bao la mapema na la kwanza ndani ya mwaka 2020.

Ppe alifunga bao la kwanza ndani ya mwaka mpya 2020 mbele ya Manchester United dakika ya nane wakati timu yake ikishda mabao 2-0.

Ba la pili lilifungwa na Sokratis Papastathoulos dakika ya 42 kwenye mechi ya Ligi Kuu England iliyochezwa Uwanja wa Emirates.

Arsenal iliyo chini ya Mike Arteta ipo nafasi ya 10 kwenye msimamo ikiwa na pointi zake 27 baada ya kuecheza mechi 21 huku United ikiwa nafasi ya tano na ina pointi 31.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic