January 29, 2020

2 COMMENTS:

  1. Kwa imani yetu hata Takukuru walishapewa habari kulishughulikia suala hili ingawaje muhusika mwenyewe kaamua kwenda kupata umaarufu kwenye vyombo vya habari kwa jambo la hovyo badala ya kuliripoti suala hilo katika vyombo husika kwa wakati.

    ReplyDelete
  2. SImba walitakiwa kusema kuwa WATATOA USHIRIKIANO iwapo itabainika kuwa KIONGOZI YEYOTE alihusika katika njama za UPANGAJI wa MATOKEO sio kuishia kulaumu tu!! Mbona wakati ZAHERA anasema kuwa kuna timu ilicheza na Yanga kuna wachezaji waliotoka Yanga walimwambia kuwa wamepewa Milioni 10 ili waikazie Yanga hawakuongea lolote? Na ilikuwa mwaka jana tu? Mbona kocha wa Mbeya City aliposema kuwa Simba wanahonga marefa hawakutoa tamko lolote? Na hata hao TFF walikaa kimya??

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic