March 6, 2020


Timu ya Ndanda FC imetozwa faini ya Tsh 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la timu hiyo kuingia uwanjani kwa kupitia mlango usio rasmi na kuliacha gari tupu likipita katika mlango rasmi katika mchezo uliofanyika Februari 29, 2020 uwanja wa CCM Gairo mkoani Morogoro.

Adhabu hiyo imetolewa kwa uzingativu wa kanuni ya 14(43) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.


Mchezo huo Ndanda ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 mbele ya wakata miwa ya Mtibwa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic