June 24, 2020



Dakika ya 90 zimekamilika

Mbeya City 0-2 Simba



Dakika ya 90+5 Miraj anafunga bao linafutwa na mwamuzi baada ya Kenned Kunambi wa Mbeya City kuchezewa faulo

Dakika 90 zimekamilika  zinaongezwa 5

Dakika ya 82, Chidebere anatoka anaingia Said Kipanga

Dakika ya 73, Said Ndemla anatoka anaingia Mzamiru Yassin

Dakika ya 70 Abdul Suleiman wa Mbeya City  anaonyeshwa kadi ya njano

Dakika ya 55 Luis anaingia anatoka Kahata

Dakika ya 54 Bocco goal Asisti Kahata
Kipindi cha pili kimeanza

HT: Mbeya City 0-1 Simba

Kipindi cha kwanza

Mbeya City 0-1 Simba


Dakika 45 zimekamilika zinaongezwa dakika tatu

Dakika ya 44 Mbeya City wanafanya jaribio haizai matokeo

Dakika ya 39 Chama anapiga faulo wachezaji wa Simba wanaotea

Dakika ya 35 Miraj anafanya jaribio linaishia mikononi mwa kipa wa Mbeya City

Dakika ya 29 Peter Mapunda anafanya jaribio nje ya 18

Dakika ya 23 Simba wanafanya shambulizi kwenda Mbeya City.

Dakika ya 22 Mbeya City wanafanya shambulizi linaokolewa

Dakika ya 15 Simba wanaanzisha mashambulizi kwenda Mbeya City

Dakika ya 13 Simba inapiga kona ya kwanza haizai matunda inaishia kwenye kichwa cha Wawa.

Dakika ya 10 Simba wanapeleka mashambulizi Mbeya City

Dakika ya 5 Goal John Bocco asisti ya Clatous Chama

Mbeya City wamepiga kona mbili hazijazaa matunda 

3 COMMENTS:

  1. Mnyama Hana sumile kaa upande usipigwe kikumbo. Gongowazi nyanyuweni mikono juu kutoa saluti muanze kumtuliza Morison

    ReplyDelete
  2. Goli la SIMBA limekataliwa kimakosa.Wachezaji wa Mbey City wamegongana wenyewe kwa wenyewe. Ingekuwa timu fulani wamenyimwa goli hilo basi wangefanya maandamano .Ukikataa goli la Simba unapunguza magoli tu.Haiathiri matokeo.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic