August 16, 2020

 

CRISS Mugalu raia wa Congo anayekipiga ndani ya Klabu ya Power Dynamo ya Zambia inaelezwa kuwa amemalizana na Simba.


Mugalu anatajwa kumalizana na Simba kwa kumpa dili la miaka miwili ili aongeze nguvu Kwenye kikosi cha Simba ambacho kinanafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa. 


Huenda akatambulishwa leo ndani ya Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck.

9 COMMENTS:

  1. Mnyama forward ever, backward never, things quietly without empty noise

    ReplyDelete
  2. Toa hiyo kauli mbiyu ya utopolo, simba ni Nguvu moja

    ReplyDelete
    Replies
    1. MIKIA FC BANA KILA KICHAKA MKIONA MAVI YANAANZA KUCHUNGULIA

      Delete
  3. MIKIA FC BANA MKIONA KICHAKA BASI MAVI YANAANZA KUCHUNGULIA

    ReplyDelete
  4. Alikuwa mzuri 2017 alipofunga magoli 17.Leo ni 2020 lakn watu wanasajili tu tena kwa mbwembwe.Mtayaona mbele.

    ReplyDelete
  5. Safi kabisa hao kandambili aka vyura aka GONGOWAZI wataongea mengi sana inawauma sana

    ReplyDelete
  6. Hakuna mzuri mchezaji mmpaka acheze na alete matokeo Chantal

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic