August 18, 2020

 


AGOSTI 22, Klabu ya Simba inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Klabu Vital'O  FC ya kutoka nchini Burundi.


Mchezo hui utapigwa Uwanja wa Mkapa, majira ya saa 11:00 jioni.

Siku hiyo ni rasmi kwa ajili ya kuwatambulisha wachezaji wapya na wale wa zamani ambao ni mali ya Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara.

Miongoni mwa wachezaji wapya ni pamoja na Bernard Morriosn, Larry Bwarya, Charlse Ilanfya huku wale wa zamani ikiwa ni pamoja Ibrahim Ajibu, Said Ndemla, Meddie Kagere, John Bocco.

7 COMMENTS:

  1. Ni draw march labda mnunue

    ReplyDelete
  2. Sijakufahamu umekusudia nini "draw March"

    ReplyDelete
  3. Mmechagua vibonde hao ili mwafunge muaze kusema mnakikosi kizur

    ReplyDelete
    Replies
    1. Simba 2-1 Namungo
      Simba 4-1 Yanga

      Sasa sijui hapo kibonde ni nani!

      Delete
    2. Mulimnunua Morrison kabla ya match, kataa baasi,ndio maana tunasema ubingwa wa maabara

      Delete
    3. Kwa hiyo Morrison asingenunuliwa angefunga goli tatu peke yake ingekuwa 4-4 namkubali sana Luc Eymael alishawaona kuwa akili zenu zinafanana na yule Mnyama

      Delete
  4. Sasa mtaropokwa tena sana kwa kukataluia na Morrison ambaye kwa uwezo na mapenzi yake kaichaguwa Simba ambayo Kwake baada ya kufikiri sana kaona ndio ya kiasi chake na ya kuaminika iliyobeba makombe yote ya nyumbani na kuendelea nayo pamoja na mechi za kitaifa ambapo uwezo wake utaonekana kuliko kubakia NA historic G4

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic