August 18, 2020

 


MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Simba kwa msimu wa 2019/20 wanatarajiwa kukutana na washindi wa pili wa Kombe la Shirikisho, Namungo FC, Agosti 30, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.

Mchezo huo utakuwa ni wa ufunguzi wa Ligi Kuu Bara ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 6.

Namungo itakuwa na hasira za kufungwa mabao 2-1 mbele ya Simba kwenye fainali iliyochezwa Uwanja wa Nelson Mandela huku Simba ikiwa na hesabu za kuanza kukusanya mataji mapema kabisa kabla ya ligi kuanza kuchanganya.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic