October 16, 2020


 UONGOZI wa Klabu  ya Yanga leo Oktoba 16 umemtambulisha rasmi Kocha Mkuu Cedric Kaze, ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kuwa ndani ya klabu hiyo.

Kaze alitua Bongo usiku wa kuamkia leo akitokea nchini Canada na kupokelewa na viongozi wa Yanga pamoja na mashabiki.

Amekuja kuchukua mikoba ya Zlatko Krmpotic ambaye alifutwa kazi Oktoba 3 kutokana na kile kilichoelezwa kuwa hakuwa na mwendo mzuri ndani ya kikosi hicho.

Raia huyo wa Burundi amesema kuwa anafurahi kuwa ndani ya kikosi cha Yanga kwa kuwa anakitambua na anahitaji ushirikiano.

Mkataba huo utamfanya awatumikie Wananchi hadi 2020/22.

10 COMMENTS:

  1. Juhudi za kumpatia kibali cha kazi ziwe haraka kama hakijapatikana

    ReplyDelete
    Replies
    1. This comment has been removed by the author.

      Delete
    2. Inamhusu kwa sababu ni mwana Yanga na ana haki ya kuchangia mawazo yake

      Delete
    3. Kwani wewe Jackson timu ni yako mwenyewe au ya familia? mbona wenzako wakitoa mawazo utafikiri unahihudumia kwa kila hitaji duuuu

      Delete
  2. Labda kikombe cha kahawa mabingwa wa nchi mara mfululizo bado mara 3 tena

    ReplyDelete
    Replies
    1. Labda mnunue kama miaka iliyopita

      Delete
    2. Kwani shida niniiiiiii hadi unateseka na mambo ya Yangaaaaa.Kila MTU aizungumzie timu yake

      Delete
  3. mwaka huu chuma kwa udongooo mpakaaa kielewekeee

    ReplyDelete
  4. Mi nashndwa kuwaelewa baazi ya mashabki kwani wanafanya kama wanajuwa kila k2 embu fikiria kwa akili yako ya kawaida mtu mpaka aje kufka huku kwamba hawajui kitu fulan kinahtajika tuache ufyatu ndo maana tunakua makocha wakat hatujui lolote

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic