October 13, 2020

 


BREAKING: Mchezo wa kirafiki kati ya Simba na Ndanda hautachezwa leo Oķtoba 13 kutokana na hali ya hewa baada ya mvua kunyesha leo ndani ya Bongo.


Mchezo huo ulipangwa kuchezwa majira ya saa 11:00 jioni ikiwa ni sehemu ya timu hizo kujiweka sawa kwa ajili ya mechi zao za ligi.


Simba inashiriki Ligi Kuu Bara na Ndanda inashiriki Ligi Daraja la Kwanza baada ya kushuka msimu uliopita wa 2018/19.


Patrick Rweyemamu,  meneja wa Simba amesema:"Hakutakuwa na mechi leo tutatoa."

4 COMMENTS:

  1. Bora isingehairishwa ili wachezaji wazoee hali zote

    ReplyDelete
  2. sjajua viongozi wamelenga viingilio au kuimarisha timu tuma meche za kimataifa zimawezwa kuchezwa kwenye mvua kwa nini hii isiwe sehemu ya maandaliz?

    ReplyDelete
  3. Nakuungeni mkono. Msimu ulimaluzika tulishuhudia mechi nyingi zkichezwa ndani ya madimbwi ya maji ya mvuwa za masika na vuli, hilo si jambo geni kabisa.

    ReplyDelete
  4. Acheni utoto ulicheza kwenye Hali ya hewa mbovu unaweza kupata majeruhi viongozi wameliona hilo

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic