October 19, 2020


LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Oktoba 19 kwa timu nne kushuka uwanjani kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja.


Ratiba ipo namna hii:-


JKT Tanzania iliyo nafasi ya 16 na pointi nne itamenyana na Tanzania Prisons iliyo nafasi ya 12 na pointi 5, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma saa 8:00 mchana.


Mtibwa Sugar iliyo nafasi ya 13 na pointi tano itamenyana na Namungo FC iliyo nafasi ya nane na pointi tisa, saa 10:00 jioni.


Coastal Union iliyo nafasi ya 14 na pointi tano itamenyana na Biashara United iliyo nafasi ya nne na pointi 13, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.Saa 10:00 jioni.


Polisi Tanzania iliyo nafasi ya saba na pointi 10 itamenyana na Gwambina FC iliyo nafasi ya 10 na pointi 7, saa 10:00 jioni.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic