October 16, 2020


 KESHO Oktoba 17 kikosi cha Simba kitashuka uwanjani kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mlandege FC ikiwa ni kwa ajili ya kujiweka sawa na maadalizi ya Ligi Kuu Bara.


Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa majira ya saa 11:00 Uwanja wa Azam Complex.


Kiingilio kwenye mechi hiyo ya kirafiki kwa mzunguko ni 5,000 (buku tano ) huku VIP ikiwa ni 7,000.


 Mchezo wake wa ligi Simba itacheza na Kagera Sugar Oktoba 4, Uwanja wa Mkapa.

4 COMMENTS:

  1. "Mchezo wake wa ligi Simba itacheza na Kagera Sugar Oktoba 4, Uwanja wa Mkapa"..........October 4 ya mwaka gani? Leo ni tarehe 16 October; sijaelewa hapo au ndo za kuambiwa changanya na za kwako!!!!!

    ReplyDelete
  2. Kabla ya Kagera mnyama ana mechi kwanza na TZ Prisons tarehe 22.10, na Ruvu Shooting tarehe 26.10 na Mwadui pia tarehe 31.10.

    ReplyDelete
  3. Bila ya shaka October 4 itakuwa ya 2021

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic