October 16, 2020

 


NAMNA Kocha Mkuu wa Yanga Cedric Kaze alivyomalizana na Yanga kwa dili la miaka miwili leo Oktoba 16 akichukua mikoba ya Zlatko Krmpotic 

Kaze amesaini dili la miaka miwili baada ya kutua Bongo usiku wa leo akitokea nchini Canada ambapo alikuwa akiishi.

Krmpotic alifutwa kazi Oktoba 3 kutokana na mwendo wake kutowafurahisha mabosi wake wa Yanga ndani ya kikosi hicho na aliondoka timu ikiwa imecheza mechi tano na kushinda nne na sare moja ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Tanzania Prisons:-



1 COMMENTS:

  1. Na siku mkifukuza wekeni live azam kama leo na sio mbali tarehe 7

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic