November 13, 2020

 


TONOMBE Mukoko nyota wa Klabu ya Yanga ambaye ameibuka ndani ya kikosi hicho akitokea Klabu ya AS Vita ya Congo amesema kuwa bado ana mkataba na timu hiyo kwa sasa.


Jina la Mukoko limekuwa likitajwa kuingia kwenye rada za Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara.


Mukoko amesema kuwa ana mkataba wa miaka miwili na Yanga hivyo taarifa zinazoeleza kuwa anaondoka ndani ya kikosi hicho ni za uongo.

6 COMMENTS:

  1. Watahangaika Sana hao m i k i a fc

    ReplyDelete
    Replies
    1. 😆😆😆😆 Morrison mlisema hivyo yupo wapi sasa

      Delete
  2. Duh! Maelezo ni mafupi mno hayajitoshelezi, hayana nyama ya kutosha.

    ReplyDelete
  3. Kasema mwenyewe mukoko sasa mnaobisha mnambishia au? Basis nendeni mkamsajili hana mkataba so ndo mnachotaka

    ReplyDelete
  4. Tudistaaj kusikia kuwa mkataba wake ni wa miezi sita tu kama ilivo na Morrison

    ReplyDelete
  5. Mbinu za kumnasa Morrison ndo zilezile zitakazo mnasa Mukoko ni suala la muda tu!!

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic