KIUNGO mkongwe ndani ya Klabu ya Simba kipenzi cha mashabiki, Jonas Mkude amesimamishwa ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck.
Taarifa ambayo imetolewa leo na uongozi wa Simba imeeleza kuwa amesimamishwa kutokana na masuala ya utovu wa nidhamu pamoja na masuala mengine.
Habari hiyo imeeleza kuwa hatua hiyo imefikia ili kamati ya nidhamu iweze kufanya uchunguzi juu ya tuhuma zinazomhusu Mkude.
Taarifa hiyo imeeleza namna hii:-
Mchelea mwana kulia hulia yeye.Taarifa za tuhuma za utovu wa nidhamu wa Mkude hazikuanza leo wala jana lakini uongozi ulikuwa unamuendekeza pasi na kutilia maanani kuwa ni kufuga ugonjwa
ReplyDeleteALIKUWA ANAONYWA KIMYA KIMYA BILA BARUA, UNAJUA PALE KUNA KAMATI YA ROHO MBAYA: WAKINA HANS POPE, TRY AGAIN HAWA WATU WAKIMWAMBIA MO HUYU ATEMWE UNATEMWA TU, LAZIMA UTEMWE
DeleteHahahahahahaha!!!! Naona wamemchoka sasa
DeleteMSIMU UKIISHA TU, HANA CHAKE WATU HAWATAKI UTANI, OSMAN DEMBELE YALIMKUTA PALE BARCA SEASON YA 2018/19
ReplyDeleteSimba ndio chuo,si alisema yule mvuta bangi?Morrison,
ReplyDeleteAisee!2020 hii au
ReplyDeleteKwani kumtongoza "shemejii"ni kosa kubwa kivile kuliko aliyokuwa akiyafanza awali?
ReplyDeleteKwani kumtongoza "shemejii"ni kosa kubwa kivile kuliko aliyokuwa akiyafanza awali?
ReplyDeleteSense same tu
ReplyDeleteLa Mkude ni kubwa kiasi gani hata asimamishwe?, Mbona Morrison katukana hadharani kwa kutuonyesha kidole cha kati na maneno machafu Uongozi UMEKAA KIMYA???, GOD FATHER NDANI YA SIMBA ITATUGAWA SAAAAAAANA.MNALETA UPENDELEO HATA KWENYE MAMBO YA MSINGI???. VIONGOZI BADILIKENI, ACHENI USHABIKI KWA WACHEZAJI NA KUWAPENDELEA WALE TU MLIOWALETA NYINYI.
ReplyDeleteHatukuelewi ulichoandika.Hivi umeelewa hiyo barua?
DeleteAmekuwa mchezaji muhimu lakni kwa sasa atajizufunza na kujiona wa kawaida.
ReplyDeleteMtafungwa mapema tu na FC Platinum,
ReplyDelete