January 26, 2021


BERNARD Morrisonn kiungo mshambuliaji wa Simba ni miongoni mwa nyota ambao wameanza kufanya kazi na mrithi wa mikoba ya Sven Vandenbroeck, Didier Gomes.

Raia huyo wa Ufaransa tayari ameshaanza kazi ndani ya Uwanja wa Mo Simba Arena kwa ajili ya kukisuka kikosi hicho kwa ajili ya kuelekea michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa Simba imetinga hatua ya makundi.

Nyota wengine ambao wameanza kazi na kocha huyo ambaye amesaini dili la miaka miwili ni pamoja na:- 

Thadeo Lwanga 

Rally Bwalya

David Kameta

Perfect Chikwende 

Miraj Athuman 

Ibrahim Ajibu 

Mzamiru Yassin 

Kened Juma 

Gadiel Michael 

Chris Mugalu 

Ally Salim 

Mohamed Hussein 

Junior Lokosa 

Francis Kahata

Hassan Dilunga

Beno Kakolanya 



4 COMMENTS:

  1. Haya haya wachezaji wao muhimu wana matatizo na klabu? Wawa, Miquisonne, Chama wako wapi mboma taarifa haziko wazi?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Huenda wakawepo kesho wakati wa mechi ya Simba Super Cup watakapotambulishwa rasmi

      Delete
  2. Wachezaji wote wameshafika kambini isipokuwa walioƄo Chan huko Cameroon.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic