January 19, 2021

 


KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars  leo zitachezwa mchezo wa Kwanza dhidi ya Zambia leo Januari 19, mchezo wa Chan, nchini  Cameroon.

Kocha Mkuu, Ettiene Ndayiragije atakosa huduma ya mshambuliaji John Bocco ambaye ni majeruhi.

Bocco ambaye anakipiga ndani ya Simba alipata majeraha Kwenye mchezo wa kimataifa dhidi ya FC Platinum. 

Mchezo huo ulichezwa Januari 6, Simba ilishinda mabao 4-0 na Bocco alitupia bao moja.

Pichani ni muonekano wa chumba cha kubadilishia nguo kwa tim ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo leo inaanza kazi ya kutafuta ushindi kwenye mchezo wa kwanza, Cameroon.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic