January 30, 2021

 


BARAZA la Michezo Tanzania (BMT), leo linatarajiwa kusimamia uchaguzi mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT).

Uchaguzi huo ni wa kikatiba na unatarajiwa kujaza nafasi mbalimbali za uongozi katika chama hicho.

Akizungumzia kuhusu uchaguzi huo, Katibu Mkuu wa RT, Ombeni Mzavara amesema: “Maandalizi yote ya uchaguzi mkuu wa chama cha riadha Tanzania yamekamilika.

“Kwa mwaka huu tunatarajia uchaguzi huu utasimamiwa na BMT, ambao wamehusishwa katika mchakato mzima wa uchaguzi tangu utaratibu wa kuchukua na kurudisha fomu,”

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic