February 10, 2021

 


HUU ndio muonekano wa uwanja wa Lake Tanganyika uliopo mkoani Kigoma, uwanja huu ndiyo utakaotumika kwenye fainali ya kombe la Shirikisho la Azam (FA), 2021.

Ikumbukwe kuwa Fainali ya mwaka jana ilipigwa katika dimba la Nelson Mandela lililopo Sumbawanga mkoani Rukwa, ambapo Simba walicheza dhidi ya Namungo na Simba kuibuka na ubingwa huo kwa kuifunga Namungo mabao 2-1 Agosti 2, mwaka jana.

Tayari droo ya michezo ya hatua ya 32 bora imekwishapangwa ambapo itaanza kupigwa mwishoni mwa mwezi huu.

Ratiba ya michezo hiyo iko kama ifuatavyo;




1 COMMENTS:

  1. Huu umekuwa ni kambi ya watu kuishi na si uwanja tena

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic