ALIYEWAHI kuwa Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu, anaripotiwa kuishitaki timu hiyo mahakamani.
Inadaiwa kuwa, Rweyemanu ambaye aliondolewa Simba mwaka jana baada ya Simba kupata matokeo mabaya mfululizo sasa inaripotiwa anataka kusafishwa na kulipwa fedha ambazo anaidai timu hiyo ili wamalizane vizuri.
Mechi mbili mfululizo Simba iliyeyusha pointi sita ilikuwa kwa kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons na bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting.
Mwanasheria wake, John Feka, alikiri kuwepo kwa madai hayo ambayo yapo kwenye mahakama ya usuluhishi.
Feka amesema mteja wake ameitaka Simba kukanusha tuhuma zilizotolewa na timu ambazo zililenga kumchafua kwa makusudi.
“Kweli kesi ipo mahakama ya usuluhishi na kikubwa ipo kesi ya madai ya fedha ambazo ni siri.
“Kesi nyingine ya tuhuma ambazo amepewa mteja wangu zilitaka kumchamfua kutokana na tuhuma alizopewa,” alisema wakili huyo.
Chanzo:Championi
HUYO SHIDA YAKE PESA TU, ATAPEWA YATAKWISHA ILA KAMA ANAJARIBU KULETA UKANJANJA IMEKULA KWAKE
ReplyDeleteKwani kuna official taarifa iliyosema kuwa alikuwa anahunumu timu, au ananistukia tuu? Atulie huko simba hatakiwi tena baada ya kununuliwa na adui. ( not official info)
ReplyDeleteMbona na wewe unapita humo humo.....Una uhakika alinunuliwa?
DeleteKama madai yake atalipwa ila kusafishwa asahau, yeye alikuwa mwajili hivi alifikiri Simba atakaa milele
ReplyDeleteNguruwe fc lipeni hela yake mapovu yenu peleka chooni, jamaa anachotaka ni HELA tu
ReplyDeleteAkili za nyani zipo kwenye makalio yake.Nyani fc masuala ya simba yanawahusu kweli?
DeleteSimba hawakukosea kumtimua huyu jamaa alikuwa anawahujumu na anachokifanya sasa ni muendelezo wa hujuma hizo.
ReplyDeleteMlimlipa Vincent na Tambwe na Zahera?
ReplyDeleteManyani zama za Simba kudaiwa zilikwisha zamani. Hakuna wa kudai Simba kwa sasa. Inaendeshwa kitaalamu. Ndio maana hata makocha wakiondoka husikii wakidai.
Wekeni hadharani hujuma zake. Nyie akikosekana mchezaji mmoja tu mnafungwa halafu mnatafuta wa kumbebesha lawama.Tena jamaa mstaarabu, kadai chake tu angedai na ya kuchafuliwa jina je.
ReplyDeleteaje tulsafishe tumeandaa na mafuta kabisa ya kumpakaaaa
ReplyDelete